LISTEN LIVE

    

DIRA YA WASIKILIZAJI WETU

Kwa Mujibu wa Tafiti ya hivi karibuni tumebaini Umri na makundi mbalimbali ambayo ni wasikilizaji wetu wakubwa:

  • Wajasiriamali Wadogo wadogo
  • Wakazi wa Nyumbani
  • Watumiaji wa Vyombo vya Moto(Magari na Pikipki)
  • Vijana
  • Wanafunzi
  • Wakazi wa Vijijini

MATANGAZO NA UDHAMINI

Redio Maarifa tunatoa Punguzo na ada Nafuu katika Urushaji wa Matangazo na UDHAMINI wa Vipindi vyetu tofauti na Stesheni nyingine,Redio yetu imeendelea kuwa Bora na ya Juu Kabisa katika kuwafikia wasikilizaji wetu Tanzania Pamoja na upatikanaji wake kiurahisi Kwa wasikilizaji wetu.Wasikilizaji wetu wamekua wakiburudika na Kuelimika kutokana na Vipindi Murua Vya Kidini,Kijamii,Uchumi na Tamadun za Kimaisha. Redio Maarifa tunatoa Punguzo Katika Matangazo na Udhamini wa Vipindi ili Kuhakikisha Natija Chanya inapatikana.

Connect with us:
admin@maarifaradio.co.tz
+255 767 957383 | +255 710 288508